Westonci.ca is the premier destination for reliable answers to your questions, provided by a community of experts. Discover the answers you need from a community of experts ready to help you with their knowledge and experience in various fields. Explore comprehensive solutions to your questions from a wide range of professionals on our user-friendly platform.

V.
Mwambie, Aje
4. Katika kuchanganua sentensiza Kiswahili kuna hatua mbalimbali za kufuata. Mama yako
amackuomba angalau kwa uchache umtajie hatua hizo kwa mtiririko sahihi ili aweze na
yeye kukumbuka jinsi alivyokua akichanganua sentensi wakati akiwa mwanafunzi
Changanua sentensi zifuatazo kwa njia ya matawi kwa kutumia mkabala wa kimuundo na
kimapokeo
A. Watoto waliochelewa kuripoti shuleni wamechapwa lakini waliowahi kwenda
nyumbani hawajarudi.
B. Katika nchi ya vipofu chongo ni mfalme.
C. Mbuzi aliyekuja jana jioni amekufa na aliyechinjwa juzi usiku nyama yake imeliwa
na mbwa.